Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga kwa penalti dakika ya 23 Juventus ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Bologna usiku wa jana Uwanja wa Renato Dall'Ara, bao la pili likifungwa na Paulo Dybala dakika ya 36. Kwa ushindi huo, Juventus inafikisha pointi 66 baada ya kucheza mechi 27 na kuendelea kuongoza Serie A kwa pointi nne zadi ya Lazio yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Qarabag vs Chelsea - Champions League: Live score, team news and updates as
Enzo Maresca rings the changes for long trip to Azerbaijan
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Azerbaijani side Qarabag host Chelsea at Tofiq Bahramov Stadium
in the C...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment