Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la ushindi dakika ya 70 kwa msaada wa VAR katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Real Sociedad kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Reale Arena, au Donostia-San Sebastian. Bao la kwanza la Real Madrid lilifungwa na Nahodha, Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 50 wakati la Real Sociedad lilifungwa na Mikel Merino dakakika ya 83. Kwa ushindi huo Real Madrid inafikisha pointi 65, sawa na mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment