Leon Goretzka akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Bayern Munich dakika ya 86 ikiilaza Borussia Monchengladbach 2-1 katika mchezo wa Bundesliga usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena. Bao la kwanza la Bayern Munich limefungwa na Joshua Kirkzee dakika ya 26, kabla ya Benjamin Pavard kujifunga dakika ya 37 akijarbu kuokoa krosi ya Patrick Herrmann na kwa ushindi huo Bavarian wanafikisha pointi 73 baada ya kucheza mechi 31 na sasa wanahitaji ushindi mmoja zaidi kutwaa taji la nane mfululizo la Bundesliga
Dad pays a heartwarming tribute to teenager who was killed in freak cricket
accident - but what happened next will make your blood boil
-
A father has called for 'respect' in the community after his tribute to
cricketer Ben Austin came to an outrageous end.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment