Anthony Martial akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za saba, 44 na 74 hiyo ikiwa hat trick yake ya kwanza kihistoria katika ushindi wa 3-0 wa Manchester United dhidi ya Sheffield United FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Kwa ushindi huo Manchester United wanafkisha pointi 49 baada ya kucheza mechi 31, ingawa wanabaki nafasi ya tano nyuma ya Chelsea yenye pointi51 za mechi 30, Leicester City pointi 55 mechi 31, Manchester City pointi 63 mechi 30 na Liverpool pointi 86 mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New footage reveals the moments before football manager collapsed and died
mid-match, leaving his players in disbelief, as it emerges he 'complained
about fish he had eaten' hours before
-
Mladen Zizovic, 44, collapsed on the side of the pitch 22 minutes into
Radnicki 1923's match against Mladost on Sunday evening, and later passed
away after...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment