Winga chipukizi, Bukayo Saka akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 43, kabla ya Alexandre Lacazette kufunga la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Molineux. Ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 49 na kupanda nafasi moja hadi ya saba, sasa ikizidiwa pointi moja na Wolves baada ya timu zote kucheza mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tom Cruise reportedly declines Kennedy Center Honor from Donald Trump
-
On Wednesday, the American leader announced that actor Sylvester Stallone,
singer Gloria Gaynor, rock group KISS, country music star George Strait,
and the...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment