Olivier Giroud akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 28 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Watford, mabao mengine yakifungwa na Willian dakika ya 43 kwa penalti na Ross Barkley dakika ya 90 na ushei kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea inafikisha pointi 57 baada ya ushindi huo na kurejea nafasi ya nne, ikiizidi pointi mbili Manchester United baada ya timu zote kucheza mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
One week to go - your essential World Cup briefing
-
Runaway world number ones England will have to buck a losing trend if they
are to win a home World Cup, with a host of overseas raiders and
neighbouring ri...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment