Nahodha wa Liverpool, Jordan Henderson akisaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea timu hiyo leo. Kiungo huyo wa kimataifa wa England mwenye umri wa miaka 28 alijiunga na Liverpool mwaka 2011 akitokea Sunderland na hadi sasa amekwishacheza mechi 283 na kufunga mabao 24 na alipewa Unahodha baada ya kuondoka kwa Steven Gerrard PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal coach identifies key reason for u18s defeat to Reading
-
The young Gunners improved after half-time and pulled one back through
Louis Zecevic John, but Reading held on for a 2-1 win.Photo by Lewis
Storey/Getty Im...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment