Lionel Messi akinyoosha kidole juu kushangilia baadsa ya kuifungia mabao matatu Barcelona dakika za 31, 77 na 87 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya PSV Eindhoven kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Camp Nou. Bao lingine la Barca limefungwa na Ousmane Dembele dakika ya 74. Barca ilimaliza pungufu baada ya Samuel Umtiti kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 79, kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics set to ban ALL transgender athletes and Imane Khelif 'DSD'
competitors from female events after 'finding scientific evidence of
advantages to being born male'
-
Transgender athletes and those with differences of sexual development (DSD)
will reportedly be banned from competing in female competitions at the
Olympics...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment