Lionel Messi akinyoosha kidole juu kushangilia baadsa ya kuifungia mabao matatu Barcelona dakika za 31, 77 na 87 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya PSV Eindhoven kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Camp Nou. Bao lingine la Barca limefungwa na Ousmane Dembele dakika ya 74. Barca ilimaliza pungufu baada ya Samuel Umtiti kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 79, kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The former Barcelona star who PREACHES in football stadiums after claiming
'Christ has set me free' following overturned rape conviction
-
Alves, 43, spent just over one year in prison after being convicted of
raping a woman in a Barcelona nightclub in 2022. His conviction was
overturned in Ma...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment