Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 35 na 44 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Young Boys usiku wa Jumatano Uwanja wa Suisse Wankdorf Bern mjini Bern, Uswisi katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa. Bao lingine alifunga Anthony Martial dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Commanders star appears to hit a referee after teammate slapped Amon Ra St.
Brown to spark angry brawl
-
A pair of Washington Commanders defensive tackles lost their heads in
moments of madness that led to one ejection and one major penalty.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment