Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 35 na 44 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Young Boys usiku wa Jumatano Uwanja wa Suisse Wankdorf Bern mjini Bern, Uswisi katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa. Bao lingine alifunga Anthony Martial dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CALUM McCLURKIN: Chester chaos presents plenty of grounds for concern in a
week filled with farce
-
The May election for the Scottish Parliament were labelled 'the Meh'
elections this week due to the level of public disillusionment with
politics in Holyrood.
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment