Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 58 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AS Roma usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi G Uwanja wa Santiago Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Francisco Roman Alarcon Suarez 'Isco' dakika ya 45 na Mariano Diaz dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary NBA coach and player Lenny Wilkens dies aged 88
-
Lenny Wilkens, one of the winningest coaches in NBA history and a two-time
Basketball Hall-of-Famer, has died at the age of 88.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment