Beki Michael Keane wa Everton akinyoosha mkuu kumzuia mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Matokeo hayo yanaifanya Liverpool ijiongezee pointi moja na kufikisha 70 katika mechi ya 29, sasa ikizidiwa pointi moja na Manchester City wanaoongoza, wakati Everton inabaki nafasi ya 10 baada ya kufikisha pointi 37 katika mchezo wa 29 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eni Aluko blames her TV punditry work drying up on Joey Barton's attacks,
as she reveals she feared being STABBED after his hateful posts
-
Eni Aluko has claimed her punditry work dried up as a consequence of social
media attacks by Joey Barton, following the former footballer conviction on
Fri...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment