BODI ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) imetoa ratiba ya kukamilisha msimu huku mchezo wa watani wa jadi, Simba SC na Yanga ukipangwa kufanyika Juni 15 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 8, lakini Simba wakagoma kwa madai walizuia na wenyeji, Yanga kufanya mazoezi Uwanja wa Mkapa siku moja kabla ya mechi kwa muiibu wa kanuni.
Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 8, lakini Simba wakagoma kwa madai walizuia na wenyeji, Yanga kufanya mazoezi Uwanja wa Mkapa siku moja kabla ya mechi kwa muiibu wa kanuni.
Lakini FIFA na CAS wakaitaka kwanza Yanga ianzie kwenye mamlaka za nchini — lakini jana klabu hiyo imetoa taarifa ya kusistiza kutocheza mechi hiyo kwa sababu hawana imani na mamlaka za nchini.
0 comments:
Post a Comment