Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa, Hannes Halldorsson dakika ya 64 kufuatia Hordur Magnusson kuchezewa faulo na Maximiliano Meza wa Iceland katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Spartak Arena mjini Moscow, Urusi. Argentina ilitangulia kwa bao la Sergio Aguero dakika ya 19, kabla ya Alfred Finnbogason kuisawazishia Iceland dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Title leader Norris takes Sao Paulo sprint pole
-
Lando Norris secures pole position for the Sao Paulo Grand Prix sprint race
with McLaren team-mate and title rival Oscar Piastri in third.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment