Paul Pogba akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ufaransa bao ushindi dakika ya 80 ikiilaza 2-1 Australia katika mchezo wa Kundi C Kombe la Dunia Uwanja wa Kazan' Arena nchini Urusi. Antoine Griezmann alianza kuifungia Ufarandsa kwa penalti ya msaada wa teknolojia ya picha za video (VAR) dakika ya 58, kabla ya teknolojia hiyo pia kuisaidia Australia kupata bao la kusawazisha kwa penalti pia lililofungwa na Mile Jedinak dakika ya 62 baada ya Samuel Umtiti kuunawa mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Under-fire Mike Vrabel returns to Patriots practice field amid ongoing
fallout of Dianna Russini affair scandal
-
Pictures emerged this week of Vrabel and a pregnant Russini getting a boat
together in Tennessee in June 2021 in the latest instalment of the saga,
which b...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment