Paul Pogba akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ufaransa bao ushindi dakika ya 80 ikiilaza 2-1 Australia katika mchezo wa Kundi C Kombe la Dunia Uwanja wa Kazan' Arena nchini Urusi. Antoine Griezmann alianza kuifungia Ufarandsa kwa penalti ya msaada wa teknolojia ya picha za video (VAR) dakika ya 58, kabla ya teknolojia hiyo pia kuisaidia Australia kupata bao la kusawazisha kwa penalti pia lililofungwa na Mile Jedinak dakika ya 62 baada ya Samuel Umtiti kuunawa mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham or Phil Foden face England axe: Thomas Tuchel announces
Foden now WON'T play on the wing - meaning one of Euro 2024's awkward star
pairing must go
-
Bellingham and Foden had started all seven matches England played at Euro
2024, but after a link-up initially caused excitement concern soon emerged
after ...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment