Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre Emerick-Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 71 katika sare ya 2-2 na Tottenham Hotspur jana Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Spurs ilitangulia kwa mabao ya Christian Eriksen dakika ya 10 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 40 baada ya Son Heung-Min kuchezewa rafu kwenye boksi, wakati bao la kwanza la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Hammered away' - Griffith hits first six of Women's Hundred
-
Cordelia Griffith smashes Tash Farrant's delivery over mid-wicket for the
first six of the 2025 Women's Hundred to take London Spirit to 19-1 against
the O...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment