Gareth Bale (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 86 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Villarreal kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa De la Ceramica. Hata hivyo nyota huyo wa Wales alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 90 na ushei baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano katika mchezo ambao alifunga pia bao la kwanza la Real dakika ya 45 na ushei huku mabao ya Villarreal yakifungwa na Gerard Moreno dakika ya 12 na Moi Gomez dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WNBA's sex toy epidemic continues as latest victim Sophie Cunningham is hit
by erotic item during Fever game
-
The WNBA was rocked by yet another shocking sex toy incident when another
was launched from the stands onto the court during the second quarter of
the Feve...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment