Cristiano Ronaldo akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote matatu Ureno dakika za nne kwa penalti, 44 na 88 katika sare ya tatu na Hispania kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia usiku wa Ijumaa Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi, Urusi. Mabao ya Hispania yalifungwa na Diego Costa mawili dakika za 24 na 55 na Nacho dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's Carabao Cup second round opponents revealed after Ruben
Amorim's men missed out on Europe for first time in 11 years
-
The Red Devils will enter the competition at this stage for the first time
in 11 years after failing to secure European football.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment