Cristiano Ronaldo akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote matatu Ureno dakika za nne kwa penalti, 44 na 88 katika sare ya tatu na Hispania kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia usiku wa Ijumaa Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi, Urusi. Mabao ya Hispania yalifungwa na Diego Costa mawili dakika za 24 na 55 na Nacho dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eni Aluko blames her TV punditry work drying up on Joey Barton's attacks,
as she reveals she feared being STABBED after his hateful posts
-
Eni Aluko has claimed her punditry work dried up as a consequence of social
media attacks by Joey Barton, following the former footballer conviction on
Fri...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment