Cristiano Ronaldo akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote matatu Ureno dakika za nne kwa penalti, 44 na 88 katika sare ya tatu na Hispania kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia usiku wa Ijumaa Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi, Urusi. Mabao ya Hispania yalifungwa na Diego Costa mawili dakika za 24 na 55 na Nacho dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi makes more MLS history as fastest player to 100 goals and
assists
-
Lionel Messi moved his career MLS totals to 59 goals and 41 assists in
Inter Miami's win, becoming the fastest player ever to 100 goal
contributions.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment