Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la pili kwa penalti dakika ya 51 ikishinda 3-1 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Gerard Pique dakika ya 38 na Luis Suarez dakika ya 82, wakati bao pekee la Rayo Vallecano limefungwa na Raúl de Tomás dakika ya 24. Barcelona inafikisha pointi 63 baada ya ushindi huo katika mchezo wa 27, ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya Atletico Madrid inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police and tinted glass permit
-
By Tochukwu Obi The recent introduction of the Tinted Glass Permit by the
Nigeria Police Force (NPF) has sparked public outrage, and rightly so. Far
from...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment