Robert Lewandowski (kulia) akifurahia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao mawili dakika za 37 na 85 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Wolfsburg kwenye mchezo wa Bundesliga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine yamefungwa na Serge Gnabry dakika ya 34, James Rodríguez dakika ya 52, Thomas Müller dakika ya 76 na Joshua Kimmich dakika ya 82 na kwa ushindi huo, Bayern Munich inafikisha pointi 57 baada ya kuheza mechi 25 na kupanda kileleni mwa Bundesliga sasa ikiizidi kwa weastani wa mabao tu Borussia Dortmund inayofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CALUM McCLURKIN: Chester chaos presents plenty of grounds for concern in a
week filled with farce
-
The May election for the Scottish Parliament were labelled 'the Meh'
elections this week due to the level of public disillusionment with
politics in Holyrood.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment