Wababe wa uzito juu duniani, Muingereza Tyson Fury (kulia) na Mmarekani Deontay Wilder (kushoto) watarudiana Februari 22 Jijini Las Vegas, Marekani baada ya kutoka droo kwenye pambano lao la kwanza Desemba 1, mwaka 2018 ukumbi wa Staples Center Jinini Los Angeles. Mshindi atapambana na Anthony Joshua katika pambano kubwa zaidi la kumsaka bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ashes coverage on TNT Sports branded 'a travesty' and 'poor product' by
cricket fans in clunky start to series - with commentators not even in
Australia!
-
England's inauspicious start to the Ashes was matched by TNT Sports, with
the broadcaster's coverage branded 'a poor product' and 'travesty'.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment