Wababe wa uzito juu duniani, Muingereza Tyson Fury (kulia) na Mmarekani Deontay Wilder (kushoto) watarudiana Februari 22 Jijini Las Vegas, Marekani baada ya kutoka droo kwenye pambano lao la kwanza Desemba 1, mwaka 2018 ukumbi wa Staples Center Jinini Los Angeles. Mshindi atapambana na Anthony Joshua katika pambano kubwa zaidi la kumsaka bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Newcastle United set for major scouting changes
-
Recruitment Reset at St James’ ParkNewcastle Utd are entering another phase
of strategic change behind the scenes, with Shola Ameobi stepping away from
his...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment