Wababe wa uzito juu duniani, Muingereza Tyson Fury (kulia) na Mmarekani Deontay Wilder (kushoto) watarudiana Februari 22 Jijini Las Vegas, Marekani baada ya kutoka droo kwenye pambano lao la kwanza Desemba 1, mwaka 2018 ukumbi wa Staples Center Jinini Los Angeles. Mshindi atapambana na Anthony Joshua katika pambano kubwa zaidi la kumsaka bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inquest opened into death of former Liverpool boss Beard
-
Former Liverpool women manager Matt Beard was found hanged at his home, a
coroner's court hearing is told.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment