Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Port Vale kwenye mchezo wa Raund ya Tatu Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Oleksandr Zinchenko dakika ya 20, Taylor Harwood-Bellis dakika ya 58 na Phil Foden dakika ya 76, wakati bao pekee la Port Vale limefungwa na Tom Pope dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton 1-1 West Ham VERDICT: How Nuno Espirito Santo stopped the rot, a
fundamental flaw he must address soon - and the Toffees star who will be
sweating over his starting spot
-
DOMINIC KING AT THE HILL DICKINSON STADIUM: Nuno Espirito Santo has no time
to waste as West Ham's new head coach but here was a small step in the
right di...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment