Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Port Vale kwenye mchezo wa Raund ya Tatu Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Oleksandr Zinchenko dakika ya 20, Taylor Harwood-Bellis dakika ya 58 na Phil Foden dakika ya 76, wakati bao pekee la Port Vale limefungwa na Tom Pope dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Formula One's Las Vegas Grand Prix halted by loose MANHOLE COVER - which
isn't even shown in TV cover-up
-
Formula One's flagship race in Las Vegas got off to a typically shaky start
when a manhole cover worked loose during the second practice session headed
by ...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment