Raphael Varane akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 34 na 53 kabla ya Luka Modric kufunga la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Getafe kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez, hivyo kurejea kileleni sasa wakiizidi pointi moja Barcelona ambayo usiku huu inamenyana na Espanyol PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Getting West Ham fans back onside is 'main priority' - Nuno
-
New West Ham boss Nuno Espirito Santo said becoming closer to the
supporters is the "main priority" for his side.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment