Raphael Varane akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 34 na 53 kabla ya Luka Modric kufunga la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Getafe kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez, hivyo kurejea kileleni sasa wakiizidi pointi moja Barcelona ambayo usiku huu inamenyana na Espanyol PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: What you missed overnight as Joe Root's live interview is
interrupted in TV gaffe, plus Shoaib Bashir's revealing role in official
team photo
-
Tuck into Daily Mail Sport's Ashes Breakfast, the first such edition on the
opening day of the much-anticipated tour of Australia, keeping you up to
date w...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment