Mchezaji wa Morocco, Amine Harit (kulia) akimtoka Omid Ebrahimi wa Iran wakati wa mechi ya Kundi B Kombe la Dunia leo Uwanja wa St Petersburg nchini Urusi leo. Iran imeshinda 1-0 bao la kujifunga na Aziz Bouhaddouz dakika ya 90 na ushei katika harakati za kuokoa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump produced a made-for-TV summit - but Putin seemed to be the one
pulling the strings
-
Donald Trump landed at Joint Base Elmendorf-Richardson with the aspiration
of departing a few hours later hailed as a peacemaker and a deal broker.
Instead...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment