Nyota wa England, Dele Alli mwenye asili ya Nigeria akimiliki mpira katika ya wachezaji wa nchi yake hiyo ya asili wakati wa mchezo wa kirafiki leo Uwanaj wa Wembley, London kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia. England imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gary Cahill dakika ya saba na Harry Kane dakika ya 39 wakati la NIgeria limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Carrick caught a worrying glimpse of the future during Man United's
stalemate at Sunderland, writes CHRIS WHEELER - while the exit door looms
for one £36.5m signing
-
CHRIS WHEELER: Of more concern to Carrick will be how much United missed
the midfielder at the Stadium of Light. They missed his experience and
poise in mi...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment