Nyota wa Atletico Madrid, Jose Gimenez (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Uruguay dakika ya 89 ikiilaza 1-0 Misri katika mchezo wa Kunsi A Kombe la Dunia Uwanja wa Ekaterinburg Arena mjini Ekaterinburg, Urusi leo. Misri ilimkosa nyota wake, Mohamed Salah aliyekuwa benchi kutokana na maumivu ya bega aliyoyapata katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, klabu yake, Liverpool ikifungwa 3-1 na Real Madrid mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris edges closer to becoming F1 world champion with dominant win
in Brazil - with rival Oscar Piastri finishing only fifth
-
JONATHAN McEVOY IN SAO PAULO: We said this weekend that the Interlagos
track is like no other - Silverstone is the next best on the calendar - and
it is a ...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment