Nyota wa Atletico Madrid, Jose Gimenez (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Uruguay dakika ya 89 ikiilaza 1-0 Misri katika mchezo wa Kunsi A Kombe la Dunia Uwanja wa Ekaterinburg Arena mjini Ekaterinburg, Urusi leo. Misri ilimkosa nyota wake, Mohamed Salah aliyekuwa benchi kutokana na maumivu ya bega aliyoyapata katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, klabu yake, Liverpool ikifungwa 3-1 na Real Madrid mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy fades at Truist Championship as Alex Fitzpatrick grabs lead
-
Masters champion McIlroy had six bogeys in a third-round 75 as he fell 13
strokes off the pace set by the Englishman.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment