Denis Cheryshev akinyoosha mikono juu kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 43 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 wa wenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia 2018, Urusi dhidi ya Saudi Arabia katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi A Ijumaa Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow. Mabao mengine ya Urusi yalifungwa na Iury Gazinsky dakika ya 12, Artem Dzyuba dakika ya 71 na Aleksandr Golovin dakika ya 90 na zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cringe Fox Sports analyst Jonathan Vilma ripped for forcing TikTok joke
into Donald Trump NFL interview
-
The president attended Sunday's NFL game between the Detroit Lions and
Washington Commanders for the 'Salute to Service' initiative across the
league.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment