Mshambuliaji Mbelgiji, Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kusawazisha dakika ya 90 na ushei kufuatia Raul Jimenez kuanza kuifungia Wolves dakika ya 56 katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
OpenAI’s long-awaited GPT-5 model nears release
-
SAN FRANCISCO (Reuters) -OpenAI's GPT-5, the latest installment of the AI
technology that powered the ChatGPT juggernaut in 2022, is set for an
imminent re...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment