Mshambuliaji wa Simba SC, Mnyarwanda Meddie Kagere (kulia) akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 jioni ya leo Uwanja w Uhuru mjini Dar es Salaam kabla ya mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar baada ya kuibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mwezi Agosti. Kagere aliuanza vizuri mwezi Septemba pia baada ya kufunga katika ushindi wa 2-1 leo
Son Heung-min says goodbye to Tottenham as club legend reads emotional
letter to fans after completing record-breaking move to LAFC
-
Tottenham Hotspur officially confirmed the departure of club legend Son
Heung-min on Wednesday evening by sharing a video of the 33-year-old saying
goodbye.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment