Mshambuliaji wa Simba SC, Mnyarwanda Meddie Kagere (kulia) akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 jioni ya leo Uwanja w Uhuru mjini Dar es Salaam kabla ya mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar baada ya kuibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mwezi Agosti. Kagere aliuanza vizuri mwezi Septemba pia baada ya kufunga katika ushindi wa 2-1 leo
'Not a penny' of taxpayer money will go towards Man United's new
100,000-seater super stadium, insists Mayor
-
Andy Burnham has insisted that 'not a penny' of public money will be spent
on Manchester United 's proposed 100,000-seater stadium.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment