Gwiji wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Osmund Mbilinyi ‘Mr II Sugu’ (kulia) katika suti ya jeans akiwa na mwanamuziki wa bendi ya Msondo Ngoma, Roman Mng’ande ‘Romario’ kwenye ukumbi wa TCC Chang’ombe, Dar es Salaam mwaka 2002 wakati wa onyesho la bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’. Sugu sasa akitamba kwa jina la Jongwe ni Mbunge wa Mbeya Mjini na zaidi amavaa ‘suti laini’ na si za kigumu tena kama hizi
Saudi Aramco profits jump despite conflict in the Middle East
-
Saudi Arabia’s state oil company hit £26.9bn profit – a 26% rise – in the
first three months of the year
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment