Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno mabao manne dakika za saba kwa penalti, 61, 65 na 76 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, Lithuania kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Vilniaus LFF mjini Vilnius. Bao lingine la Ureno lilifungwa na William Carvalho dakika ya 90 na ushei, wakati la Lithuania limefungwa na Vytautas Andriuskevicius dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jake Bauers' solo homer (6)
-
Jake Bauers crushes a solo home run to trim the Brewers' deficit to 2-1 in
the bottom of the 7th inning
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment