Beki wa kikosi cha wachezaji wa akiba cha LA Galaxy, Mtanzania Abdalla Haji Shaibu 'Ninja' akiwa na mshambuliaji wa kikosi cha kwanza cha timu hiyo, Msweden Zlatan Ibrahimovich kwenye gym ya klabu hiyo Dignity Health Sports Park Carson mjini California nchini Marekani kwa mazoezi ya viungo. Ninja yupo LA Galaxy II kwa mkopo kutoka MFK Vyskov ya Czech aliyojiunga nayo akitokea Yanga ya Dar es Salaam
What next for Kieran Trippier?
-
Newcastle United defender Kieran Trippier has an open mind about his next
move as he focuses on finishing his St James' Park stay on a high.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment